2 Wafalme 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na zile pesa ambazo zilikuwa zimehesabiwa, wakaziweka mikononi mwa wafanyakazi+ waliowekwa kwenye nyumba ya Yehova. Wao nao wakazilipa kwa wafanyakazi wa mbao na kwa wajenzi waliokuwa wakifanya kazi katika nyumba ya Yehova,
11 Na zile pesa ambazo zilikuwa zimehesabiwa, wakaziweka mikononi mwa wafanyakazi+ waliowekwa kwenye nyumba ya Yehova. Wao nao wakazilipa kwa wafanyakazi wa mbao na kwa wajenzi waliokuwa wakifanya kazi katika nyumba ya Yehova,