5 nao wazitie mkononi mwa wale wanaofanya kazi,+ waliochaguliwa, katika nyumba ya Yehova, ili wawape wale wanaofanya kazi waliomo katika nyumba ya Yehova ili kurekebisha mipasuko ya nyumba,+
12 Kisha mfalme na Yehoyada wakawa wakiwapa waliokuwa wakifanya+ kazi katika utumishi wa nyumba ya Yehova,+ nao wakaandika wachongaji wa mawe+ na mafundi+ ili kuirekebisha nyumba ya Yehova,+ na pia wafanyakazi wa chuma na shaba ili kuirekebisha nyumba ya Yehova.+
10 Kisha wakazitia mkononi mwa wafanyakazi waliowekwa juu ya nyumba ya Yehova.+ Nao wafanyakazi waliokuwa wakitenda kazi katika nyumba ya Yehova wakazitumia kutengeneza na kuirekebisha nyumba.