12 Kisha mfalme pamoja na Yehoyada waliwapa wale waliosimamia kazi katika utumishi wa nyumba ya Yehova, na wasimamizi hao waliwaajiri watu waliokata mawe na mafundi wa kurekebisha nyumba ya Yehova,+ na pia mafundi wa chuma na shaba ili kuirekebisha nyumba ya Yehova.