2 Wafalme 12:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na mambo mengine ya Yehoashi na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Yuda? 2 Mambo ya Nyakati 20:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Na mambo mengine ya Yehoshafati, ya kwanza na ya mwisho, tazama, yameandikwa kati ya maneno ya Yehu+ mwana wa Hanani,+ yaliyoingizwa katika Kitabu+ cha Wafalme wa Israeli.
19 Na mambo mengine ya Yehoashi na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Yuda?
34 Na mambo mengine ya Yehoshafati, ya kwanza na ya mwisho, tazama, yameandikwa kati ya maneno ya Yehu+ mwana wa Hanani,+ yaliyoingizwa katika Kitabu+ cha Wafalme wa Israeli.