2 Wafalme 15:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova.+ Akafanya kulingana na yote ambayo Uzia baba yake alikuwa amefanya.+ 2 Mambo ya Nyakati 26:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova,+ kulingana na yote ambayo Amazia baba yake alikuwa amefanya.+
34 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova.+ Akafanya kulingana na yote ambayo Uzia baba yake alikuwa amefanya.+
4 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova,+ kulingana na yote ambayo Amazia baba yake alikuwa amefanya.+