2 Wafalme 15:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Isipokuwa tu mahali pa juu hapakuondolewa. Watu walikuwa bado wanatoa dhabihu na kufukiza moshi wa dhabihu katika mahali pa juu.+ Yeye ndiye aliyejenga lango la juu la nyumba ya Yehova.+
35 Isipokuwa tu mahali pa juu hapakuondolewa. Watu walikuwa bado wanatoa dhabihu na kufukiza moshi wa dhabihu katika mahali pa juu.+ Yeye ndiye aliyejenga lango la juu la nyumba ya Yehova.+