10 Kisha wakafika kwenye uwanja wa kupuria+ wa Atadi, ulio katika eneo la Yordani,+ na huko wakaomboleza maombolezo makuu sana na kulia sana, naye akafanya desturi za kuomboleza kwa ajili ya baba yake kwa siku saba.+
8 Na wana wa Israeli wakamlilia Musa kwenye nchi tambarare za jangwa la Moabu kwa siku 30.+ Mwishowe siku za kulia za kipindi cha kumwombolezea Musa zikamalizika.