Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 10:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi malkia wa Sheba+ alikuwa akisikia habari za Sulemani kuhusiana na jina la Yehova.+ Kwa hiyo akaenda kumjaribu kwa maswali yenye kutatanisha.+

  • Isaya 60:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Wingi unaosukasuka wa ngamia utakufunika, ngamia-dume wachanga wa Midiani na wa Efa.+ Wale wote kutoka Sheba+—watakuja. Watabeba dhahabu na ubani. Nao watatangaza sifa za Yehova.+

  • Luka 11:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Malkia+ wa kusini atasimamishwa katika hukumu pamoja na watu wa kizazi hiki naye atawahukumu kuwa wenye hatia; kwa sababu yeye alikuja kutoka miisho ya dunia ili aisikie hekima ya Sulemani, lakini, tazameni! Aliye mkuu+ kuliko Sulemani yupo hapa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki