5 na chakula cha meza yake+ na kuketi kwa watumishi wake na utumishi wa mezani wa wale wenye kumhudumia na mavazi yao na vinywaji vyake+ na dhabihu zake za kuteketezwa alizotoa kwa ukawaida katika nyumba ya Yehova, basi haikubaki roho yoyote ndani ya malkia.+