9 Lakini wana wa Israeli wakawachukua mateka wanawake wa Midiani na watoto wao wadogo;+ na wanyama wao wote wa kufugwa na mifugo yao yote na riziki yao yote wakaipora.
30 Na kutoka katika nusu ya wana wa Israeli utachukua mmoja kati ya 50, kati ya binadamu, kati ya mifugo, kati ya punda na kati ya kundi, kati ya kila namna ya wanyama wa kufugwa, nawe utawapa Walawi,+ watunzaji wa wajibu wa maskani ya Yehova.”+