Ezra 4:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Mfalme akapeleka neno kwa Rehumu+ ofisa mkuu wa serikali na Shimshai mwandishi na wenzao+ waliokaa katika Samaria na wale wengine ng’ambo ya Mto: “Salamu!+ Basi Danieli 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Mfalme Nebukadneza, kwa vikundi vyote vya watu, vya mataifa na lugha ambavyo vinakaa katika dunia yote:+ Amani yenu na iwe nyingi.+
17 Mfalme akapeleka neno kwa Rehumu+ ofisa mkuu wa serikali na Shimshai mwandishi na wenzao+ waliokaa katika Samaria na wale wengine ng’ambo ya Mto: “Salamu!+ Basi
4 “Mfalme Nebukadneza, kwa vikundi vyote vya watu, vya mataifa na lugha ambavyo vinakaa katika dunia yote:+ Amani yenu na iwe nyingi.+