Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na wakaaji wa kwanza waliokuwa katika miliki zao katika majiji yao walikuwa Waisraeli,+ makuhani,+ Walawi+ na Wanethini.+

  • Ezra 7:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Nanyi mnajulishwa kwamba hairuhusiwi kutoza kodi,+ wala ushuru+ wala ada yoyote juu ya yeyote wa makuhani+ na Walawi,+ wanamuziki,+ watunza-milango,+ Wanethini,+ na wafanyakazi wa hii nyumba ya Mungu.

  • Ezra 8:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na kutoka kwa Wanethini, ambao Daudi na wakuu waliwatoa kwa ajili ya utumishi wa Walawi, Wanethini 220, wote walikuwa wametajwa kwa majina yao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki