Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 9:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Basi Yoshua akawafanya+ siku hiyo kuwa wakusanyaji wa kuni na watekaji wa maji kwa ajili ya kusanyiko+ na kwa ajili ya madhabahu ya Yehova, mpaka leo hii, mahali ambapo angechagua.+

  • Ezra 2:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Wanethini:+ Wana wa Siha, wana wa Hasufa, wana wa Tabaothi,+

  • Ezra 8:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na kutoka kwa Wanethini, ambao Daudi na wakuu waliwatoa kwa ajili ya utumishi wa Walawi, Wanethini 220, wote walikuwa wametajwa kwa majina yao.

  • Nehemia 3:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Nao Wanethini+ walikuwa wakaaji wa Ofeli;+ walifanya kazi ya kurekebisha mpaka mbele ya Lango la Maji+ upande wa mashariki na mnara wenye kutokeza.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki