Yoshua 9:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Lakini tangu siku hiyo, Yoshua akawafanya kuwa wakusanyaji wa kuni na watekaji wa maji kwa ajili ya kusanyiko+ na kwa ajili ya madhabahu ya Yehova mahali ambapo Mungu angechagua.+ Yoshua Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 9:27 “Kila Andiko,” uku. 44 Mnara wa Mlinzi,12/15/1986, uku. 22
27 Lakini tangu siku hiyo, Yoshua akawafanya kuwa wakusanyaji wa kuni na watekaji wa maji kwa ajili ya kusanyiko+ na kwa ajili ya madhabahu ya Yehova mahali ambapo Mungu angechagua.+