29 Macho yako na yatazame nyumba hii usiku na mchana, yatazame mahali ambapo ulisema hivi kupahusu: ‘Jina langu litakuwa hapo,’+ ili usikilize sala ambayo mimi mtumishi wako ninasali kuelekea mahali hapa.+
24 Pia ninawajulisha kwamba hairuhusiwi kuwatoza kodi, wala ushuru,+ wala ada yoyote makuhani na Walawi, wanamuziki,+ walinzi wa malango, watumishi wa hekaluni,*+ na wafanyakazi wa nyumba hii ya Mungu.
17 Kisha nikawapa amri kuhusu Ido kiongozi wa Kasifia. Nikawaagiza wamwambie Ido na ndugu zake, watumishi wa hekaluni* waliokuwa huko Kasifia, watuletee wahudumu kwa ajili ya nyumba ya Mungu wetu.