Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 8:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Macho yako na yatazame nyumba hii usiku na mchana, yatazame mahali ambapo ulisema hivi kupahusu: ‘Jina langu litakuwa hapo,’+ ili usikilize sala ambayo mimi mtumishi wako ninasali kuelekea mahali hapa.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Baadhi ya Waisraeli, makuhani, Walawi, na watumishi wa hekaluni*+ walikuwa wakaaji wa kwanza kurudi katika miliki yao kwenye majiji yao.

  • 2 Mambo ya Nyakati 6:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Lakini nimechagua Yerusalemu+ ili jina langu likae humo, nami nimemchagua Daudi awatawale watu wangu Waisraeli.’+

  • Ezra 7:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Pia ninawajulisha kwamba hairuhusiwi kuwatoza kodi, wala ushuru,+ wala ada yoyote makuhani na Walawi, wanamuziki,+ walinzi wa malango, watumishi wa hekaluni,*+ na wafanyakazi wa nyumba hii ya Mungu.

  • Ezra 8:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kisha nikawapa amri kuhusu Ido kiongozi wa Kasifia. Nikawaagiza wamwambie Ido na ndugu zake, watumishi wa hekaluni* waliokuwa huko Kasifia, watuletee wahudumu kwa ajili ya nyumba ya Mungu wetu.

  • Nehemia 3:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na watumishi wa hekaluni*+ walioishi Ofeli+ wakafanya marekebisho hadi mbele ya Lango la Maji+ upande wa mashariki na mnara uliochomoza.

  • Nehemia 7:60
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 60 Watumishi wote wa hekaluni*+ na wana wa watumishi wa Sulemani walikuwa 392.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki