8Kisha watu wote wakakusanyika wakiwa na kusudi moja katika uwanja wa jiji uliokuwa mbele ya Lango la Maji,+ wakamwambia Ezra+ mwandishi* alete kitabu cha Sheria ya Musa,+ ambayo Yehova alikuwa ameamuru Waisraeli waifuate.+
37 Kwenye Lango la Chemchemi+ walipanda moja kwa moja Ngazi+ ya Jiji la Daudi+ kupitia njia inayopanda kwenye ukuta juu ya Nyumba ya Daudi mpaka kwenye Lango la Maji+ upande wa mashariki.