8Na watu wote wakajikusanya kama mtu mmoja+ katika kiwanja cha watu wote+ kilichokuwa mbele ya Lango la Maji.+ Ndipo wakamwambia Ezra+ mwandikaji akilete kitabu+ cha sheria ya Musa,+ ambayo Yehova alikuwa ameamuru Israeli.+
37 Na kwenye Lango la Chemchemi+ wakaenda moja kwa moja mbele yao juu ya Ngazi+ ya Jiji la Daudi+ kupitia mpando wa ukuta juu ya Nyumba ya Daudi mpaka Lango la Maji+ upande wa mashariki.