Nehemia 3:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Nao Wanethini+ walikuwa wakaaji wa Ofeli;+ walifanya kazi ya kurekebisha mpaka mbele ya Lango la Maji+ upande wa mashariki na mnara wenye kutokeza. Nehemia 8:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na watu wote wakajikusanya kama mtu mmoja+ katika kiwanja cha watu wote+ kilichokuwa mbele ya Lango la Maji.+ Ndipo wakamwambia Ezra+ mwandikaji akilete kitabu+ cha sheria ya Musa,+ ambayo Yehova alikuwa ameamuru Israeli.+
26 Nao Wanethini+ walikuwa wakaaji wa Ofeli;+ walifanya kazi ya kurekebisha mpaka mbele ya Lango la Maji+ upande wa mashariki na mnara wenye kutokeza.
8 Na watu wote wakajikusanya kama mtu mmoja+ katika kiwanja cha watu wote+ kilichokuwa mbele ya Lango la Maji.+ Ndipo wakamwambia Ezra+ mwandikaji akilete kitabu+ cha sheria ya Musa,+ ambayo Yehova alikuwa ameamuru Israeli.+