Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 9:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Basi sasa ninyi ni watu waliolaaniwa,+ nanyi hamtaacha kamwe kuwa watumwa+ na wakusanyaji wa kuni na watekaji wa maji kwa ajili ya nyumba ya Mungu wangu.”+

  • 1 Mambo ya Nyakati 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na wakaaji wa kwanza waliokuwa katika miliki zao katika majiji yao walikuwa Waisraeli,+ makuhani,+ Walawi+ na Wanethini.+

  • Ezra 2:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Wanethini:+ Wana wa Siha, wana wa Hasufa, wana wa Tabaothi,+

  • Ezra 8:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kisha nikawapa amri kuhusu Ido aliye kichwa huko Kasifia, nami nikatia maneno katika vinywa+ vyao waseme na Ido na ndugu zake Wanethini+ huko Kasifia, watuletee wahudumu+ kwa ajili ya nyumba ya Mungu wetu.

  • Ezra 8:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na kutoka kwa Wanethini, ambao Daudi na wakuu waliwatoa kwa ajili ya utumishi wa Walawi, Wanethini 220, wote walikuwa wametajwa kwa majina yao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki