Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 8:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Naye atawahudumia ndugu zake katika hema la mkutano kwa kutimiza wajibu huo, lakini hatatoa utumishi wowote. Utawafanyia Walawi hivyo katika wajibu wao mbalimbali.”+

  • Hesabu 18:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na mimi, tazama! mimi nimewachukua ndugu zenu, Walawi, kutoka katikati ya wana wa Israeli,+ wawe zawadi kwenu,+ kama wale waliokabidhiwa kwa Yehova ili kuendeleza utumishi wa hema la mkutano.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 23:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Nao wakafanya ulinzi wa hema la mkutano na ulinzi+ wa mahali patakatifu+ na ulinzi wa wana wa Haruni ndugu zao kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki