26 Naye atawahudumia ndugu zake katika hema la mkutano kwa kutimiza wajibu huo, lakini hatatoa utumishi wowote. Utawafanyia Walawi hivyo katika wajibu wao mbalimbali.”+
6 Na mimi, tazama! mimi nimewachukua ndugu zenu, Walawi, kutoka katikati ya wana wa Israeli,+ wawe zawadi kwenu,+ kama wale waliokabidhiwa kwa Yehova ili kuendeleza utumishi wa hema la mkutano.+
32 Nao wakafanya ulinzi wa hema la mkutano na ulinzi+ wa mahali patakatifu+ na ulinzi wa wana wa Haruni ndugu zao kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Yehova.+