Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 9:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Basi wakuu wakawaambia hivi: “Waacheni waishi, na wawe wakusanyaji wa kuni na watekaji wa maji kwa ajili ya kusanyiko lote,+ kama hao wakuu walivyowaahidi.”+

  • Yoshua 9:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Basi Yoshua akawafanya+ siku hiyo kuwa wakusanyaji wa kuni na watekaji wa maji kwa ajili ya kusanyiko+ na kwa ajili ya madhabahu ya Yehova, mpaka leo hii, mahali ambapo angechagua.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na wakaaji wa kwanza waliokuwa katika miliki zao katika majiji yao walikuwa Waisraeli,+ makuhani,+ Walawi+ na Wanethini.+

  • Ezra 2:58
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 58 Wanethini+ wote na wana wa watumishi wa Sulemani walikuwa 392.+

  • Nehemia 3:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Nao Wanethini+ walikuwa wakaaji wa Ofeli;+ walifanya kazi ya kurekebisha mpaka mbele ya Lango la Maji+ upande wa mashariki na mnara wenye kutokeza.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki