21 Basi wakuu wakawaambia hivi: “Waacheni waishi, na wawe wakusanyaji wa kuni na watekaji wa maji kwa ajili ya kusanyiko lote,+ kama hao wakuu walivyowaahidi.”+
27 Basi Yoshua akawafanya+ siku hiyo kuwa wakusanyaji wa kuni na watekaji wa maji kwa ajili ya kusanyiko+ na kwa ajili ya madhabahu ya Yehova, mpaka leo hii, mahali ambapo angechagua.+