24 Nanyi mnajulishwa kwamba hairuhusiwi kutoza kodi,+ wala ushuru+ wala ada yoyote juu ya yeyote wa makuhani+ na Walawi,+ wanamuziki,+ watunza-milango,+ Wanethini,+ na wafanyakazi wa hii nyumba ya Mungu.
17 Kisha nikawapa amri kuhusu Ido aliye kichwa huko Kasifia, nami nikatia maneno katika vinywa+ vyao waseme na Ido na ndugu zake Wanethini+ huko Kasifia, watuletee wahudumu+ kwa ajili ya nyumba ya Mungu wetu.