Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na wakaaji wa kwanza waliokuwa katika miliki zao katika majiji yao walikuwa Waisraeli,+ makuhani,+ Walawi+ na Wanethini.+

  • Ezra 7:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Nanyi mnajulishwa kwamba hairuhusiwi kutoza kodi,+ wala ushuru+ wala ada yoyote juu ya yeyote wa makuhani+ na Walawi,+ wanamuziki,+ watunza-milango,+ Wanethini,+ na wafanyakazi wa hii nyumba ya Mungu.

  • Ezra 8:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kisha nikawapa amri kuhusu Ido aliye kichwa huko Kasifia, nami nikatia maneno katika vinywa+ vyao waseme na Ido na ndugu zake Wanethini+ huko Kasifia, watuletee wahudumu+ kwa ajili ya nyumba ya Mungu wetu.

  • Nehemia 3:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Nao Wanethini+ walikuwa wakaaji wa Ofeli;+ walifanya kazi ya kurekebisha mpaka mbele ya Lango la Maji+ upande wa mashariki na mnara wenye kutokeza.

  • Nehemia 7:60
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 60 Wanethini+ wote na wana wa watumishi wa Sulemani walikuwa 392.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki