Yoshua 9:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Basi sasa ninyi ni watu waliolaaniwa,+ nanyi hamtaacha kamwe kuwa watumwa+ na wakusanyaji wa kuni na watekaji wa maji kwa ajili ya nyumba ya Mungu wangu.”+ Ezra 2:58 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 58 Wanethini+ wote na wana wa watumishi wa Sulemani walikuwa 392.+ Nehemia 3:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Nao Wanethini+ walikuwa wakaaji wa Ofeli;+ walifanya kazi ya kurekebisha mpaka mbele ya Lango la Maji+ upande wa mashariki na mnara wenye kutokeza. Nehemia 7:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Wanethini:+ Wana wa Siha, wana wa Hasufa, wana wa Tabaothi,+
23 Basi sasa ninyi ni watu waliolaaniwa,+ nanyi hamtaacha kamwe kuwa watumwa+ na wakusanyaji wa kuni na watekaji wa maji kwa ajili ya nyumba ya Mungu wangu.”+
26 Nao Wanethini+ walikuwa wakaaji wa Ofeli;+ walifanya kazi ya kurekebisha mpaka mbele ya Lango la Maji+ upande wa mashariki na mnara wenye kutokeza.