Ezra 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Pia, Mfalme Koreshi mwenyewe akaleta vyombo vya nyumba ya Yehova,+ ambavyo Nebukadneza alikuwa ameleta kutoka Yerusalemu+ na kuviweka katika nyumba ya mungu wake.+ Ezra 8:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Nao makuhani na Walawi wakapokea uzito wa fedha na dhahabu na vyombo, ili wavilete Yerusalemu kwenye nyumba ya Mungu wetu.+
7 Pia, Mfalme Koreshi mwenyewe akaleta vyombo vya nyumba ya Yehova,+ ambavyo Nebukadneza alikuwa ameleta kutoka Yerusalemu+ na kuviweka katika nyumba ya mungu wake.+
30 Nao makuhani na Walawi wakapokea uzito wa fedha na dhahabu na vyombo, ili wavilete Yerusalemu kwenye nyumba ya Mungu wetu.+