Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 23:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 kwa sababu ya kuvunja agano la Yehova Mungu wenu ambalo aliwaamuru ninyi, na kwa sababu mmeenda na kuitumikia miungu mingine na kuiinamia.+ Na hasira ya Yehova hakika itawaka juu yenu,+ nanyi hakika mtaangamia upesi kutoka katika hii nchi nzuri ambayo amewapa.”+

  • Zaburi 21:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Utawafanya wawe kama tanuru yenye moto wakati wako uliowekwa wa kukaza uangalifu wako;+

      Yehova atawameza katika hasira yake, na moto utawateketeza.+

  • Zaburi 90:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ni nani anayejua nguvu za hasira yako+

      Na ghadhabu yako kulingana na kukuogopa wewe?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki