Ezra 8:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi hawa ndio waliokuwa vichwa vya nyumba zao za ukoo wa upande wa baba+ na maandikisho ya kiukoo+ ya wale walioenda nami kutoka Babiloni wakati wa utawala wa Artashasta,+ mfalme:
8 Basi hawa ndio waliokuwa vichwa vya nyumba zao za ukoo wa upande wa baba+ na maandikisho ya kiukoo+ ya wale walioenda nami kutoka Babiloni wakati wa utawala wa Artashasta,+ mfalme: