1 Mambo ya Nyakati 4:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Na makao yao yote yaliyozunguka majiji hayo yalikuwa mpaka Baali.+ Hayo ndiyo yaliyokuwa makao yao na maandikisho yao ya kiukoo kwa ajili yao. 1 Mambo ya Nyakati 9:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa habari ya Waisraeli wote, wao waliandikishwa kiukoo;+ na tazama, wameandikwa katika Kitabu cha Wafalme wa Israeli. Na Yuda wakapelekwa uhamishoni+ kule Babiloni kwa sababu walikosa uaminifu.
33 Na makao yao yote yaliyozunguka majiji hayo yalikuwa mpaka Baali.+ Hayo ndiyo yaliyokuwa makao yao na maandikisho yao ya kiukoo kwa ajili yao.
9 Kwa habari ya Waisraeli wote, wao waliandikishwa kiukoo;+ na tazama, wameandikwa katika Kitabu cha Wafalme wa Israeli. Na Yuda wakapelekwa uhamishoni+ kule Babiloni kwa sababu walikosa uaminifu.