Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na maandikisho yao ya kiukoo+ kulingana na wazao wao kuhusiana na vichwa vya nyumba ya mababu zao, mashujaa, wanaume wenye nguvu, yalikuwa 20,200.

  • 1 Mambo ya Nyakati 7:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Hao wote ndio waliokuwa wana wa Asheri, vichwa+ vya nyumba ya mababu, mashujaa,+ wanaume wenye nguvu, waliochaguliwa, vichwa vya wakuu; na maandikisho yao ya kiukoo+ yalikuwa katika jeshi kwa ajili ya vita. Hesabu yao ilikuwa watu 26,000.+

  • Ezra 2:59
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 59 Na hawa ndio waliotoka Tel-mela, Tel-harsha, Kerubi, Adoni na Imeri, nao hawakuweza kujua nyumba ya baba zao wala uzao wao,+ kama walikuwa wa Israeli:

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki