40 Hao wote ndio waliokuwa wana wa Asheri, vichwa+ vya nyumba ya mababu, mashujaa,+ wanaume wenye nguvu, waliochaguliwa, vichwa vya wakuu; na maandikisho yao ya kiukoo+ yalikuwa katika jeshi kwa ajili ya vita. Hesabu yao ilikuwa watu 26,000.+
59 Na hawa ndio waliotoka Tel-mela, Tel-harsha, Kerubi, Adoni na Imeri, nao hawakuweza kujua nyumba ya baba zao wala uzao wao,+ kama walikuwa wa Israeli: