4 nami nikawaleta katika nyumba ya Yehova, kwenye chumba cha kulia+ chakula cha wana wa Hanani mwana wa Igdalia, mtu wa Mungu wa kweli, kilichokuwa kando ya chumba cha kulia chakula cha wakuu ambacho kilikuwa juu ya chumba cha kulia chakula cha Maaseya mwana wa Shalumu+ mtunza-mlango.