14 Nami nikapita kuelekea Lango la Chemchemi+ na kwenye Kidimbwi cha Mfalme, na yule mnyama wa kufugwa aliyekuwa chini yangu hakuwa na mahali pa kupitia.
37 Na kwenye Lango la Chemchemi+ wakaenda moja kwa moja mbele yao juu ya Ngazi+ ya Jiji la Daudi+ kupitia mpando wa ukuta juu ya Nyumba ya Daudi mpaka Lango la Maji+ upande wa mashariki.