Zaburi 88:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 88 Ee Yehova, Mungu wa wokovu wangu,+Wakati wa mchana nimepaaza kilio,+Usiku pia, mbele zako.+ Luka 18:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Basi, kwa hakika je, Mungu hatasababisha haki+ ifanywe kwa ajili ya watu wake waliochaguliwa ambao wanampaazia sauti mchana na usiku, hata ingawa ana ustahimilivu+ kwao?
7 Basi, kwa hakika je, Mungu hatasababisha haki+ ifanywe kwa ajili ya watu wake waliochaguliwa ambao wanampaazia sauti mchana na usiku, hata ingawa ana ustahimilivu+ kwao?