Mwanzo 47:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi Yosefu akamnunulia Farao mashamba yote ya Wamisri,+ kwa sababu Wamisri waliuza kila mtu shamba lake, kwa maana ile njaa ilikuwa imewalemea sana; na hayo mashamba yakawa ya Farao.
20 Basi Yosefu akamnunulia Farao mashamba yote ya Wamisri,+ kwa sababu Wamisri waliuza kila mtu shamba lake, kwa maana ile njaa ilikuwa imewalemea sana; na hayo mashamba yakawa ya Farao.