Nehemia 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi, wakati Sanbalati+ Mhoroni na Tobia+ yule mtumishi,+ Mwamoni,+ na Geshemu+ Mwarabu+ waliposikia jambo hilo, wakaanza kutudhihaki+ na kutudharau wakisema: “Ni nini hili mnalofanya? Je, mnamwasi mfalme?”+
19 Basi, wakati Sanbalati+ Mhoroni na Tobia+ yule mtumishi,+ Mwamoni,+ na Geshemu+ Mwarabu+ waliposikia jambo hilo, wakaanza kutudhihaki+ na kutudharau wakisema: “Ni nini hili mnalofanya? Je, mnamwasi mfalme?”+