Nehemia 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa hiyo moyo wangu ukatafakari ndani yangu, nami nikaanza kuwalaumu+ watu wenye vyeo na watawala-wasaidizi, na kuwaambia: “Mnatoza riba,+ kila mmoja kutoka kwa ndugu yake mwenyewe.” Pia nikapanga kusanyiko kubwa kwa sababu yao.+
7 Kwa hiyo moyo wangu ukatafakari ndani yangu, nami nikaanza kuwalaumu+ watu wenye vyeo na watawala-wasaidizi, na kuwaambia: “Mnatoza riba,+ kila mmoja kutoka kwa ndugu yake mwenyewe.” Pia nikapanga kusanyiko kubwa kwa sababu yao.+