11 Ndipo ilitokea kura+ ya kabila la wana wa Benyamini+ kulingana na familia zao, na eneo la kura yao likawa ni kati ya wana wa Yuda+ na wana wa Yosefu.+
5 Mwanamume fulani, Myahudi, alikuwa katika ngome ya Shushani,+ jina lake lilikuwa Mordekai+ mwana wa Yairi mwana wa Shimei mwana wa Kishi, Mbenyamini,+