Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 35:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Basi nafsi+ yake ilipokuwa ikitoka (kwa sababu alikufa)+ akamwita jina lake Ben-oni; lakini baba yake akamwita Benyamini.+

  • Yoshua 18:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo ilitokea kura+ ya kabila la wana wa Benyamini+ kulingana na familia zao, na eneo la kura yao likawa ni kati ya wana wa Yuda+ na wana wa Yosefu.+

  • Esta 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Mwanamume fulani, Myahudi, alikuwa katika ngome ya Shushani,+ jina lake lilikuwa Mordekai+ mwana wa Yairi mwana wa Shimei mwana wa Kishi, Mbenyamini,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki