33 Kisha siku ya nne tukapima hiyo fedha na dhahabu+ na vyombo+ katika nyumba ya Mungu wetu na kuviweka mkononi mwa Meremothi+ mwana wa Uriya kuhani na pamoja naye Eleazari mwana wa Finehasi na pamoja naye Yozabadi+ mwana wa Yeshua na Noadia mwana wa Binui,+ Walawi,
7 Naye Yeshua na Bani na Sherebia,+ Yamini, Akubu, Shabethai, Hodia, Maaseya, Kelita, Azaria, Yozabadi,+ Hanani, Pelaya,+ hata Walawi, walikuwa wakiwafafanulia watu sheria,+ hao watu wakiwa wamesimama.+