2 Mambo ya Nyakati 36:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na vyombo+ vyote, vikubwa+ kwa vidogo, vya nyumba ya Mungu wa kweli na hazina za nyumba ya Yehova na hazina+ za mfalme+ na za wakuu wake, kila kitu akakipeleka Babiloni. Ezra 7:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na vyombo+ unavyopewa kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Mungu wako, uvipeleke vyote mbele za Mungu katika Yerusalemu.+
18 Na vyombo+ vyote, vikubwa+ kwa vidogo, vya nyumba ya Mungu wa kweli na hazina za nyumba ya Yehova na hazina+ za mfalme+ na za wakuu wake, kila kitu akakipeleka Babiloni.
19 Na vyombo+ unavyopewa kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Mungu wako, uvipeleke vyote mbele za Mungu katika Yerusalemu.+