Kutoka 19:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Nenda kwa watu, ukawatakase leo na kesho, nao wafue nguo zao za kujitanda.+ 2 Mambo ya Nyakati 29:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Naye akawaambia: “Nisikilizeni, enyi Walawi. Sasa jitakaseni+ na mwitakase nyumba ya Yehova Mungu wa mababu zenu, na mwondoe kitu kichafu kutoka mahali patakatifu.+
10 Na Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Nenda kwa watu, ukawatakase leo na kesho, nao wafue nguo zao za kujitanda.+
5 Naye akawaambia: “Nisikilizeni, enyi Walawi. Sasa jitakaseni+ na mwitakase nyumba ya Yehova Mungu wa mababu zenu, na mwondoe kitu kichafu kutoka mahali patakatifu.+