Ezra 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Koreshi mfalme wa Uajemi amesema hivi,+ ‘Yehova Mungu wa mbinguni+ amenipa falme zote za dunia,+ naye mwenyewe amenipa utume nimjengee nyumba katika Yerusalemu,+ huko Yuda. Ezra 6:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nao wakaimaliza nyumba hii siku ya tatu ya mwezi wa Adari,+ yaani, katika mwaka wa sita wa utawala wa Mfalme Dario.
2 “Koreshi mfalme wa Uajemi amesema hivi,+ ‘Yehova Mungu wa mbinguni+ amenipa falme zote za dunia,+ naye mwenyewe amenipa utume nimjengee nyumba katika Yerusalemu,+ huko Yuda.
15 Nao wakaimaliza nyumba hii siku ya tatu ya mwezi wa Adari,+ yaani, katika mwaka wa sita wa utawala wa Mfalme Dario.