3 katika mwaka wa tatu wa utawala wake alifanya karamu+ kwa ajili ya wakuu wake na watumishi wake wote, jeshi la Uajemi+ na Umedi,+ watu wenye vyeo+ na kwa ajili ya wakuu wa wilaya za utawala mbele yake.+
14 Na wale waliokuwa karibu zaidi naye ni Karshena, Shethari, Admatha, Tarshishi, Meresi, Marsena, na Memukani, wakuu saba+ wa Uajemi na Umedi, wanaoingia kwa mfalme,+ nao walikuwa wanaketi katika cheo cha kwanza katika ufalme):
3Baada ya mambo hayo Mfalme Ahasuero alimtukuza Hamani+ mwana wa Hamedatha Mwagagi,+ akamwinua+ na kukiweka kiti chake juu ya wakuu wengine wote waliokuwa pamoja naye.+