3Baada ya mambo hayo Mfalme Ahasuero alimtukuza Hamani+ mwana wa Hamedatha Mwagagi,+ akamwinua+ na kukiweka kiti chake juu ya wakuu wengine wote waliokuwa pamoja naye.+
12 Tena Hamani akasema: “Zaidi ya hayo, Esta, malkia, hakumkaribisha mtu yeyote pamoja na mfalme kwenye karamu isipokuwa mimi,+ na kesho+ pia nimealikwa naye pamoja na mfalme.