Esta 9:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 katika siku ya kumi na tatu ya mwezi wa Adari; na kukawa na pumziko siku ya kumi na nne ya mwezi huo, nayo ikafanywa kuwa siku ya karamu+ na kushangilia.+ Esta 9:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 kuwawekea wajibu+ wawe wakishika kwa ukawaida siku ya kumi na nne ya mwezi wa Adari na siku ya kumi na tano ya mwezi huo mwaka baada ya mwaka,
17 katika siku ya kumi na tatu ya mwezi wa Adari; na kukawa na pumziko siku ya kumi na nne ya mwezi huo, nayo ikafanywa kuwa siku ya karamu+ na kushangilia.+
21 kuwawekea wajibu+ wawe wakishika kwa ukawaida siku ya kumi na nne ya mwezi wa Adari na siku ya kumi na tano ya mwezi huo mwaka baada ya mwaka,