16 Na wale Wayahudi wengine waliokuwa katika wilaya za utawala+ wa mfalme, walijikusanya, wakasimama kwa ajili ya nafsi+ zao, wakajilipizia kisasi+ juu ya adui zao na kuua watu 75,000 kati ya wale waliowachukia; lakini hawakunyoosha mkono wao juu ya nyara,