5 Mwanamume fulani, Myahudi, alikuwa katika ngome ya Shushani,+ jina lake lilikuwa Mordekai+ mwana wa Yairi mwana wa Shimei mwana wa Kishi, Mbenyamini,+
8Siku hiyo Mfalme Ahasuero alimpa Esta, malkia, nyumba ya Hamani,+ ambaye aliwaonyesha Wayahudi uadui;+ naye Mordekai akaingia mbele ya mfalme, kwa maana Esta alikuwa amesema yeye ni nani kwake.+
3 Kwa maana Mordekai Myahudi alikuwa wa pili+ kwa Mfalme Ahasuero naye alikuwa mkuu kati ya Wayahudi na alikubaliwa na wengi wa ndugu zake, akifanya kazi kwa ajili ya mema ya watu wake na kusema amani+ kwa uzao wao wote.