Zaburi 111:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kazi za Yehova ni kuu,+ ד [Daʹleth]Zinazotafutwa na wale wote wanaopendezwa nazo.+ Zaburi 145:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Fahari tukufu ya utukufu wako+Na mambo ya kazi zako za ajabu nitayafanya yawe hangaiko langu.+