Isaya 44:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Yehova, Mkombozi+ wako na Mfanyizaji wako tangu tumboni, amesema hivi: “Mimi, Yehova, ninafanya mambo yote, mimi peke yangu ninazitandaza mbingu,+ na kuitandaza dunia.+ Ni nani aliyekuwa pamoja nami?
24 Yehova, Mkombozi+ wako na Mfanyizaji wako tangu tumboni, amesema hivi: “Mimi, Yehova, ninafanya mambo yote, mimi peke yangu ninazitandaza mbingu,+ na kuitandaza dunia.+ Ni nani aliyekuwa pamoja nami?