Ayubu 24:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa habari ya jicho la mzinzi,+ limengojea giza la jioni,+Likisema, ‘Hakuna jicho litakaloniona!’+Naye hufunika uso wake. 1 Wathesalonike 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana wale wanaolala usingizi+ wana desturi ya kulala usingizi usiku,+ na kwa kawaida wale wanaolewa, hulewa usiku.
15 Kwa habari ya jicho la mzinzi,+ limengojea giza la jioni,+Likisema, ‘Hakuna jicho litakaloniona!’+Naye hufunika uso wake.
7 Kwa maana wale wanaolala usingizi+ wana desturi ya kulala usingizi usiku,+ na kwa kawaida wale wanaolewa, hulewa usiku.