Kutoka 10:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kisha Yehova akamwambia Musa: “Unyooshe mkono wako kuelekea mbinguni,+ ili giza lipate kutokea juu ya nchi ya Misri nalo giza liweze kuguswa.” Ayubu 33:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Ili kuigeuza nafsi yake isiingie shimoni,+Ili atiwe nuru kwa nuru ya wale walio hai.+
21 Kisha Yehova akamwambia Musa: “Unyooshe mkono wako kuelekea mbinguni,+ ili giza lipate kutokea juu ya nchi ya Misri nalo giza liweze kuguswa.”