Zaburi 68:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Umkemee mnyama-mwitu wa matete,+ kusanyiko la ng’ombe-dume,+Na ndama za vikundi vya watu, kila mmoja akikanyaga-kanyaga vipande vya fedha.+Ametawanya vikundi vya watu vinavyopenda mapigano.+ Isaya 19:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na lazima mito itoe harufu mbaya; mifereji ya Nile ya Misri lazima ishuke na kukauka.+ Matete+ na vitete lazima vioze.
30 Umkemee mnyama-mwitu wa matete,+ kusanyiko la ng’ombe-dume,+Na ndama za vikundi vya watu, kila mmoja akikanyaga-kanyaga vipande vya fedha.+Ametawanya vikundi vya watu vinavyopenda mapigano.+
6 Na lazima mito itoe harufu mbaya; mifereji ya Nile ya Misri lazima ishuke na kukauka.+ Matete+ na vitete lazima vioze.