Luka 18:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yule Farisayo akasimama+ na kuanza kusali+ mambo haya akisema moyoni, ‘Ee Mungu, ninakushukuru ya kuwa mimi si kama wale watu wengine, wanyang’anyi, wasio waadilifu, wazinzi, au hata kama mkusanya-kodi huyu.+
11 Yule Farisayo akasimama+ na kuanza kusali+ mambo haya akisema moyoni, ‘Ee Mungu, ninakushukuru ya kuwa mimi si kama wale watu wengine, wanyang’anyi, wasio waadilifu, wazinzi, au hata kama mkusanya-kodi huyu.+